MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR ATOA ZAWADI KWA MSHINDI WA KUHIFADHI QURANI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, amewataka Wazee na Walimu wa Madrasa Nchini, kuwaendeleza kielimu katika fani mbali mbali za dini na dunia, Wanafunzi waliohifadhi Qurani, ili kupata radhi zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla ameyasema hayo katika hafla ya Mashindano Makuu ya kuhifadhi Quran ya Kitaifa